News

KUNA yule Mzungu aliyewahi kutuambia 'Tough time never last, but tough people do'. Hakukosea sana. Alimaanisha nyakati ngumu huwa haziishi, lakini watu wagumu wanaisha. Watu ...
MOHAMED Hussein ‘Tshabalala’ ni rasmi sasa atavaa jezi ya kijani na njano msimu ujao baada ya mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara, Yanga, kumtambulisha.
HARAMBEE Stars ya Kenya, imeonyesha kuitaka robo fainali ya michuano ya CHAN 2024 baada ya kulazimisha sare ya bao 1-1 dhidi ...
INTER Milan imefikiria kumsajili winga wa Manchester United na timu ya taifa ya England, Jadon Sancho, mwenye umri wa miaka ...
STAA wa Liverpool, Darwin Nunez imeripotiwa atapata mshahara marafudu iwapo atakamilisha uhamisho wake kwenda kwa mabingwa wa Ligi Kuu ya Saudi Arabia, Al-Hilal.
HIZI timu za daraja la kati kiuchumi mara nyingi lengo lao kuu huwa ni kubakia Ligi Kuu na huwa hazitaki sana makuu kama zile ...
STRAIKA wa Newcastle na timu ya taifa ya Sweden, Alexander Isak amewekwa kando na kikosi cha kwanza na kuamriwa afanye ...
KATIKA mechi iliyojaa tahadhari na vita ya kimbinu, Taifa Stars imeendelea kung’ara kwenye Michuano ya Mataifa ya Afrika kwa ...
JUZI Jumatano ilikuwa siku ya furaha sana hapa kijiweni kwetu baada ya kusikia na kuona taarifa za nahodha wa Taifa Stars, ...
TIMU ya taifa ya Uganda The Cranes, inashuka tena uwanjani leo kutupa karata ya pili ya Michuano ya Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji Wanaocheza Ligi za ndani (CHAN), itakaposaka ushindi wa ...
JUMAMOSI iliyopita, Kocha Hemed Suleiman 'Morocco' aliiwezesha timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars kuibuka na ushindi wa ...
INAELEZWA Everton ipo tayari kumsajili mshambuliaji wa Manchester City, Jack Grealish lakini inakumbana na masharti magumu ...